AHADI MBALI MBALI ZA MUNGU JUU YA MAISHA YETU.


Neno la Mungu limepimwa na kuhakikishwa na Mungu, kwamba linafaa kwa matumizi ya Binadamu. (Zab 12:6) Neno la Mungu li hai na lina Nguvu ya kumshinda shetani (Ebr 4:12). Kuna umuhimu mkubwa wa kutumia Neno la Mungu na ahadi za Mungu, wakati wa maombi. Kumbuka, Mungu analiangalia Neno lake ili alitimize (Yer 1:12) Zifuatazo ni baadhi tu ya ahadi mbalimbali za Mungu zilizopo katika Biblia Takatifu. Na wewe kama mwombaji, unatakiwa kuzijua na kuzitumia ili kumkumbusha Mungu anachosema katika Neno lake (Isaya 43:26) ili kusababisha mabadiliko mazuri yatokee katika ulimwengu wa mwili kama tunavyoomba (Fil 4:6-7, Efe 6:18, Math 16:19,18).

1.    Ahadi za Mungu juu ya Hali ya Hatia na  Kushitakiwa Moyoni
1Yohana 1:8,9,7; Isaya 1:18; 1Yohana 2:1; Warumi 8:34; Waebrania 10:19-22; Waebrani 4:16; Waebrania 9:14; Waefeso 1:7;  Yeremia 31:34; Isaya 43:25;  Zaburi 103:12; Isaya 55:7;  1Yohana 3:20; Yohana 3:17-18; 2Wakorintho 5:17; Isaya 43:18

2.    Ahadi za Mungu kuhusu juu Mamlaka aliyotupa sisi Wana wa Mungu
Danieli 7:13-14, 27; Waefeso 1:20-23; Waefeso 2:6; Mathayo 28:18;
Mathayo 16:18-19; 1Yohana 4:13,17; Yohana 14:12

3.    Ahadi za Mungu kumshinda shetani na nguvu zote za giza
Hesabu 23:23; Luka 10:19; Yeremia 1:9-10; Yeremia 51:20; Mathayo 18:18;
Marko 16:16-18; Yakobo 4:7 ; Mathayo 8:8; Yeremia 5:14; Yohana 14:12

4.    Ahadi za Mungu kuhusu Uponyaji wa magonjwa ya mwili
Zaburi 103:3; Mathayo 8:17; 1Petro 2:24; Kutoka  15:26; Kumbukumbu 7:15
Marko 16:16-18; Warumi 8:12; Yohana 14:12; Yakobo 5:14-15; Marko 6:13
Mathayo 8:8; 1Yohana 4:13,17

5.    Ahadi za Mungu kuhusu Ulinzi na Usalama wa Wana wa Mungu
Zaburi 121:5-8; Zaburi 91:10-12; Yohana 10:28; Isaya 54:14; Isaya 54:17;
Zaburi 34:7; Kumbukumbu 9:1-3; Zaburi 121:1-8; Walawi 26:6

6.    Ahadi za Mungu kuhusu Utajiri na Mafanikio wa Wana wa Mungu
3Yohana 1:2; 2Timotheo 2:7; Kumbukumbu 28:1-13; Zaburi 1:1-3; Yoshua 1:7-8
2Wakorintho 8:9; 2Wakorintho 9:11; Wafilipi 4:19; Kumbukumbu 15:4; Isaya 45:1-3
Malaki 3:10-12; Warumi 10:12

7.    Ahadi za Mungu kuhusu Akili njema, maarifa na busara
2Timotheo 2:7; Wakolosai 2:2-3; Zaburi 111:10; Kumbukumbu 4:5-8;
Kumbukumbu 28:13; Waefeso 1:18

8.    Ahadi za Mungu kuhusu Watoto na Familia
Yeremia 9:17; Isaya 54:13; Kumbukumbu 28:4; Matendo 16:31; Mathayo 16:18-19

9.    Ahadi za Mungu kuhusu Furaha,  Faraja  na  Amani
Wafilipi 4:6-7; Wakolosai 3:15; Isaya 55:12; Isaya 9:6; Kutoka 33:6; Zaburi 16:11

10. Ahadi za Mungu juu ya maonezi kutoka kwa adui zako
Isaya 54:14-15; Isaya 54:17; Yeremia 1:19; Zaburi 118:12; Isaya 49:26;
Warumi 8:31; Waebrania 13:6; Isaya 41:11; Kutoka 14:14; Kumbukumbu 31:6
Kutoka 23:22; Danieli 6:22;

11. Ahadi za Mungu juu ya hali ya Uchovu – Unapojisikia Kuishiwa Nguvu
Luka 24:49, Isaya 40:29,31; Matendo 1:8, Matendo 2:1-4, Matendo 4:31
Waefeso 3:16, 1Petro 4:11, Warumi 6:10, Wafilipi 4:13, Wakolosai 1:11,29

12. Ahadi za Mungu kuhusu kupata kibali kwa watu (The Favour of the Lord).
 Isaya 66:12; Kumbukumbu 6:10-11; Kumbukumbu 8:6-12, Warumi 8:33






Share To:
Magpress

Calvin Petro

Kwa Moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na Maagizo yako. Moyoni mwangu nimeliweka Neno lako Nisije nikakutenda dhambi. (Zaburi 119:10-11).

Post A Comment:

4 comments so far,Add yours

  1. Hakika Ni masomo mazuri sana, ikiwapendeza mkiwa mnanitumia katika barua pepe yangu

    JibuFuta
  2. Sina lugha ya kumpendeza Mungu kwaajili ya masomo mazuri na yenye kutia nguvu na tumaini jipya kwa jinsi Hii , Mungu akuinue sana mtumishi, kuwa makini sana na adui, Amen 🙏...

    JibuFuta
  3. Mungu aibariki huduma yako

    JibuFuta