Mpendwa, unapomtumikia Mungu hatakuacha, “Kwa hiyo Bwana MUNGU asema hivi, Tazama, watumishi wangu watakula, bali ninyi mtaona njaa; tazama, watumishi wangu watakunywa, bali ninyi mtaona kiu; tazama, watumishi wangu watafurahi, bali ninyi mtatahayarika; tazama, watumishi wangu wataimba kwa furaha ya moyo, bali ninyi mtalia kwa huzuni ya moyo; mtapiga kelele kwa sababu ya uchungu wa roho zenu” Isaya 65:13-14. ni vema basi kumtumika Mungu bila kuchoka.

    Ee Mungu Baba nipe Neema za kukutumikia daima. Amina





    Share To:
    Magpress

    Calvin Petro

    Kwa Moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na Maagizo yako. Moyoni mwangu nimeliweka Neno lako Nisije nikakutenda dhambi. (Zaburi 119:10-11).

    Post A Comment:

    0 comments so far,add yours