1. KWANINI MUNGU ANATUPA UTAJIRI MALI NA FEDHA ? 



1. ILI KUIMARISHA AGANO LAKE (UFALME WAKE)* Kumb 8:18 (12-18)

Agano la Mungu kwa siku za leo, ni Agano JIPYA. Kuimarisha Agano lake maana yake; nikuimarisha kazi ya injili ya Yesu Kristo, ili wokovu uwafikie watu wote. Tunapotoa muda wetu na vipawa vyetu na mali zetu kwa ajili ya kazi ya Mungu, ili kuimarisha Ufalme wa Mungu, tunakuwa tumetimiza makusudi ya Mungu ya kutupa hizi mali; “kuimaisha agano lake” (Kumb 8:17-18)
Soma pia, Gal 3:11,23-26,29; Rum 10:13 – 15; Fillip 4:15 –19)Mali zetu si pesa tu. Mali ni kitu chochote chenye thamani na kikitumiwa vizuri, kinawezakuongeza ubora wa kitu. Kwa mfano;
a) Muda wako ni mali ya thamani sana, ukiutumia vizuri, utakuletea kipato.

b) Vipawa vyako pia ni mali, ukikitumia vizuri, kitakuletea kipato.
c) Fedha yako pia ni mali, ukiipangilia a kuitumia vizuri, itakuboreshea maisha yako.

Tunapotoa muda wetu na vipawa vyetu na mali zetu kwa ajili ya kazi ya Mungu, ilikuimarisha Ufalme wa Mungu, tunakuwa tumepanda mbegu katika ufalme wa Mungu nakwa wakati wa Mungu, zitarudi kwetu moja ikiwa imezaa 30, na nyingine itarudi imezaa 60,na nyingine 100. Hii ni kwasababu, mali zako na vipawa vyako na muda wako, ni sadakambele za Mungu.Hayo ndio makusudi ya Mungu ya kutupa hizi mali; “kuimaisha aganolake” (Kumb 8:17-18).
Unapotoa sadaka kama hizi kwa Mungu, toa kwa imani, yaani toa kwa kutarajia kupokea tenakutoka kwa Mungu. Usione muda wako kama unapoteza au unajitolea tu. Bali vione hivi vitukuwa ni sadaka, kwasababu kwa uhalisi, vitu hivi ni mali. Muda ni pesa; vipawa ni pesa pia,na mali zetu ni pesa. Unapotoa muda, vipawa na mali zako kwa Mungu, ona kwamba unatoasadaka. Na sadaka ni mbegu. Na mbegu ikitolewa kwa usahihi, huzaa sana (Math 13:8). 1

2.

Hivyo, toa kwa imani, yaani toa kwa kutarajia kupokea tena kutoka kwa Mungu. Usionemuda wako kama unapoteza au unajitolea tu, bali ona kwamba umetoa sadaka. Tunapotoamuda wetu na vipawa vyetu na mali zetu kwa ajili ya kazi ya Mungu, ili kuimarisha Ufalmewa Mungu, tunakuwa tumepanda mbegu katika ufalme wa Mungu na kwa wakati wa Mungu,zitarudi kwetu moja ikiwa imezaa 30, na nyingine 60, na nyingine 100; kama tulivyosomakatika Mathayo 13:8.
2. ILI KUVITUMIA KWA MAHITAJI YETU BINAFSI *Yoh16:24
Soma tena 1Timotheo 6:17 na   2Wakorintho 9:8 – 11

Mungu kama Baba yetu na kama Mchungaji Mwema, anajali sana mahitaji yetu na haja zetuau shauku za mioyo yetu. (vitu vitupavyo furaha na kuridhika). Ndio maana hutupa utajiri, ilitufurahie maisha. Si mapenzi ya Mungu tuwe masikini. Ndio maana Yesu alifanyika maskini(kimwili) ili kwa umasikini wake, (sisi) tupate kuwa matajiri (kimwili)” (2 Kor 8:9)

Ni mapenzi ya Mungu tupate vitu vyote vitakavyotufanya tufurahie maisha yetu duniani.Nyumba nzuri, mavazi mazuri, chakula kizuri, kazi nzuri, magari mazuri, biashara nzuri,mifugo mizuri, mashamba mazuri, mshahara mzuri, n.k. (Zab23:1- 2; Fil 4:6-7,19; Zab37:4; Zab145:17- 19)
3. ILI KUWAGAWIA WAHITAJI *2KOR 9:8-13;



Pia soma 1Timotheo 6:17-19; Waefeso 4:28 na Luka 6:38.

Tunapowapa wahitaji fedha, nguo, viatu, chakula au vitu vya aina nyingine ili kuwasaidiakimaisha, tunapata thawabu kubwa kwa Mungu. Kumsaidia mhitaji kitu, ni kumpa Mungu.Hebu soma vizuri Mathayo 25:31-40; Mathayo 10:40 – 42 na Yohana 13:20.
Mungu ametupa mali, fedha na utajiri wa namna nyingi ili tuwasaidie wahitaji na masikini,wajane na yatima, wagonjwa na walemavu. Thawabu yake ni kubwa mbele za Mungu, naMungu ataona sababu ya kukupa tena na kukuzidishia. Tena Mungu atakufanya uwenjia/mkondo wa baraka zake kwa watu wengine. Soma pia 2Kor 8:14-15, Mdo 20:35 2
 TUMTUMIKIE MUNGU KWA MALI ZETU 

Ushiriki wetu katika kazi ya Mungu, kwa njia ya kutoa muda, vipawa na mali, utamfanyaMungu, kutufungulia madirisha na milango ya mbinguni, ili kutumwagia baraka nyingi,tunazohitaji katika mashamba, mifugo, biashara, miradi mbalimbali tuliyonayo. Pia ushirikiwetu katika kazi ya Mungu, kwa njia ya kutoa muda, vipawa na mali, utamfanya Mungu azibariki familia zetu, watoto wetu, ndoa zetu na afya zetu pia, ili tuzidi kumtumikia na kuwabaraka kwa wengine pia. Baraka za Mungu zitatuzidishia mapato yetu, ili tuwe na vitu vyakutosha kutumia na hata kuwa baraka kwa wahitaji wengi.

Utoaji ni njia ya Mungu kutupa na kutujaza tunavyohitaji *1Fal 17:1-16
Mungu ndiye alieyewaka kanuni ya kupanda na kuvuna, kutoa na kupokea. Hivyo, maranyingi tunapomwomba Mungu atubariki/atujaze mahitaji yetu, anatuletea mafasi ya kutoakwanza, ili tupokee mahitaji yetu tumwombayo. Kwasababu, ndiyo kanuni ya kupokea. Niajabu, sicho tunachotegemea (kutoa wakati wewe binafsi unahitaji). Badala ya Mungukukupa moja kwa moja kitu ulichomwomba, anakuletea nafsi ya kutoa hicho hicho kidogo ulichonacho, kiwe kama mbegu, ili hatimaye upokee (uvune) kile ulichomwomba, na hata zaidi ya ulivyoomba.
Biblia pia inasema hivi katika kitabu cha Waefeso 3:20 na Wafilipi 4:15-19; kwamba, “Basi atukuzwe Mungu awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tumwombayo au kulikoyote tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu, itendayo kazi ndani yetu” (Efe 3:20; Fil 4:15-19).
1Wafalme 17:13-16; Eliya akamwambia (yule mama mjane); usiogope (kutoa hicho kidogokilichobaki) … enenda ukafanye kwa ajili yangu (kwa maana ukinipa mimi, utakuwaumempa Mungu) na Mungu wa Isarael anasema, unga wako wala mafuta yakohayatapunguka kamwe, mpaka njaa itakapoondoka juu ya nchi. Yaani Mungu atavizidisha. Siajabu anliongezea Kama ukikubali na kutii, utakula mema ya nchi. Lakini ukikataa,utaangamia (kama wengine wanavyoangamia). (Isaya 1:19)
Si jambo rahisi kutoa wakati wewe mwenyewe umepumgukiwa au una uhitaji. Inahitajikaimani kubwa kutoa kidogo kilichobaki, ili uhitai wako ujazwe. Hivyo, usishangae sikuutakapomwomba Mungu pesa au vitu, halafu badala ya kukupa, anakuletea mhitaji ili umpe pesa au vitu, au analeta nafasi ya wewe kutoa sadaka. Kumbuka kanuni yake, huwezi kuvuna bila kupanda!
Hivyo, ukikubali na kutii, utavuna na kupata mema, tena zaidi ya ulivyotarajia. Hii ni kanuniya Mungu; ukipanda haba utavuna haba, ukipanda nyingi, utavuna nyingi. Huwezi kuvuna bila kupanda
Utoaji wa sadaka, hufungulia na kutuletea mahitaji yetu (2Wafalme 4:8-41)
Huyu mama Mshunami pamoja na mume wake, japo walikuwa ni watu wenye fedha nyingina cheo kikubwa, lakini walikuwa hawajapata mtoto, pengine kwa miaka mingi sana.Inaawezekana walishaombewa na watumishi wengi wa Mungu, lakini bado maombi yaohayakuleta muujiza waliokuwa wanausubiri kwa hamu kubwa. Kumbe ufunguo wa muujizawao, haukuwa katika maombi pekee, bali katika utoaji wao pia. Yamkini Mungu alishawapamtot wao katika ulimwengu wa kiroho, ila sadaka ndio ilikuwa inahitajika, ili kutelemshaBaraka yao ya mtoto.
Neno la Mungu linasema, Mungu akaweka mzigo ndani ya mama huyu, kumjengea NabiiElisha nyumba, ili asipate shida katika utumishi wake. Na huyu mama akamshirikishamumewe. Nao wakaiweka azma yao katika matendo. Walipotii na kufanya kile kitu ambachoMungu aliweka mioyoni mwao, kwa ajili ya Elisha mtumishi wa Mungu, ndipo muujiza waowa kupata mtoto, ukatimia.
Biblia inasema, Elisha akapewa Neno la Mungu kwa ajili ya familia hii, juu ya kupewa mtotowao (ambaye tayari alishatolewa kwao, kwa njia ya maombi, lakini ni katika ulimwengu wakiroho). Sadaka yao, iliushuhsa ule muujiza wao, kutoka rohoni, ukawa halisi katika mwili,kwasababu ya Utii wao. Sadaka ina nguvu ya kutupa mahitaji yetu.
Kwahiyo Ushiriki wetu katika kazi ya Mungu, kwa njia ya kutoa muda, vipawa na mali,utamfanya Mungu, kutufungulia madirisha na milango ya mbinguni, ili kutumwagia barakanyingi, tunazohitaji katika mashamba, mifugo, biashara, miradi mbalimbali tuliyonayo.Pia ushiriki wetu katika kazi ya Mungu, kwa njia ya kutoa muda, vipawa na mali, utamfanyaMungu azibariki familia zetu, watot wetu, ndoa zetu na afya zetu pia, ili tuzidi kumtumikia nakuwa baraka kwa wengine pia. Baraka za Mungu zitatuzidishia mapato yetu, ili tuwe na vituvya kutosha kutumia na hata kuwa baraka kwa wahitaji wengi (Malaki 3:10–12, Luk 6:38) 4
                                                 Wako katika kazi ya Mungu

                                                     Mwl. Mgisa Mtebe
                                                    +255 713  497  654
                                                 mgisamtebe@ yahoo.com
                                                   www.mgisamtebe.or.tz



Share To:
Magpress

Calvin Petro

Kwa Moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na Maagizo yako. Moyoni mwangu nimeliweka Neno lako Nisije nikakutenda dhambi. (Zaburi 119:10-11).

Post A Comment:

3 comments so far,Add yours

  1. PESA/UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI

    MPAKA MASAA 48(SIKU 2) PAPO HAPO ULIPO KUPITIA KALAMA KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    HIZI NI DAWA NA MUDA WA UKAMILIFU WAKE NA KUKUKABIDHI

    MAJINI ZIPO AINA 3
    1. GHUUL(chma ulete)....Siku 5
    2.SAIFRAHAN(Jini wa kufuga)...Siku 6 n.k
    3.SAIFRAHA(jini wa bahati)....masaa 24

    NDAGU ZIPO AINA 6
    1.MTU.....week 1 na nusu
    2.MIMBA....siku 5
    3.UTASA....masaa 72(siku tatu)
    4.ULEMAVU....siku tano
    5.NDUGU WATATU...siku sita
    6.WANYAMA.....masaa 48

    KARIBU UPATE UFAFANUZI UCHAGUE UIPENDAYO KILA MOJA NA MASHARTI YAKE.

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    HACHA KUTANGATANGA PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI

    NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI NA KUTUNZA SIRI......

    NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
    @highlight @highlight Following TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA KENYANS LIVING IN USA πŸ‡ΊπŸ‡²πŸ‡¬πŸ‡§ KENYA BUSINESS NETWORK @highlight Watowaji Pesa Za Majini Everyone Products Your Friend.

    PIGA SIMU/Whatsup +255 742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA SIMU KUEPUKA MATAPELI

    JibuFuta
  2. KARIBU UPATE KUJUWA NYOTA YAKO NA KUUJUA MWILI WAKO NA TIBA YA MATATIZO YAKO.

    Kwa uhitaji pia wa NDAGU au JINI wa ulinzi au Mali pia Mali ya MAJINI ila kwa hili nahitaji mutu mwenye sifa hizi
    1.MSIRI
    2.MALENGO
    3.NIA YADHATI NA KWELI
    4.NIDHAMU

    MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    DOKTA MDIRO, call/whatsup +255 742162843

    DUNIA HII SIO MBAYA ILA WALMWENGU NDIO WABAYA,
    KATIKA MAISHA YETU TUNAISHI NA WATU WA AINA MBALIMBALI WEMA NA WABAYA

    Natoa ofa ya checkup au kuuchuuza mwili wako na NYOTA yako kuchekii mwili wako na NYOTA yako ni Kama unavyokwenda kwa daktari hospitalini kufanya checkup ya afya ya mwili kuuhepusha na maradhi nyemerezi kwa kuyakinga au kuyaondoa kabisa.

    TUNAISHII KTK DUNIAA AMBAYO YENYE UPENDO , CHUKI NA ROHOMBAYA.

    TUMEZUNGUKWA NA JAMII AMBAYO WATU TUNACHEKA NAO TUNAKUNYWA NAO LAKINI UPANDE MWINGINE NDIO WANATUZUNGUKA KUTUFANYIA MAMBO MABAYA.

    ∆KUNAWATU WAPO MAKAZINI HAWAONI MAENDELEO
    ∆WATU WANAFANYA BIASHARA HAWAONI FAIDA
    ∆VIFUNGO VYA UCHAWI YAANI WEWE MWILI NI KUUMA TU
    ∆WENGINE USIKU MREFU HAKNA USINGIZI
    ∆UNAOMBA KAZI HUPATI NA UNAVIGEZO
    ∆WENGINE KOO ZAO HAKUNA HATA MWENE BAISIKELI WOTE NI KILIA TU
    ∆KILA NDOA WEWE NI KUACHIKA BILA SABABU
    ∆MAJINI MAHABA MWILINI.
    ∆KILA UKIPATA PESA HIKAI NA MATATIZO KUANDAMA.
    ∆WENGINE MPAKA MAJINA YAO NA BAHATI ZAO ZIMEFUNGWA MAKABURINI BILA KUJUWA.

    HACHA KULALAMA CHUKUA HATUA KUBADILI MAISHA YAKO HUJAUMBWA KATIKA DUNIA HII KUTESWA NA MTU NA KUWA KITUO CHA MATATIZO NA MAJARIBIO JIWEKEE KINGA YAKO NA FAMILIA UHESHIMIKE HUSISINGIZIE HALI NGUMU MBONA SHOW ROOM MAGARI YANAUZIKA KILASIKU NAWE JIWEKE KATIKA HALI NAWE UWE NA MAISHA MAZURI.

    Magonjwa yote hutibika kwa mwenye kubri na uwezo kutoka kwa Allah DOKTA MDIRO upate ufumbuzi wa tatizo na Jambo lako.

    UWEZE KUTIZAMWA NYOTA YAKO NA MWILI KWA UJUMLA UMBALI SIO TATIZO HUDUMA INAKUFIKIA PIA KWA WANAOTAKA KUFIKA OFISINI NA MAWASILIANO NAMBA ZIPO CHINI UNAPOKELEWA NA DOKTA MDIRO MOJA KWA MOJA.

    DOKTA MDIRO call/whatsup +255 742162843

    ANGALIZO PIGA SIMU HUSITUME SMS KUHUDUMIWA HARAKA NA KUHEPUKA MATAPELI.

    JibuFuta