Kwa Waoaji“Ninajua Kati Ya Tabia Ya Mungu Ni KUCHUNGULIA KWENYE MOYO WA MTU, Kisha AKIONA HAJA YA MOYO WAKO ILIYO SAWA NA MAPENZI YAKE Anachukua Hatua KUKUPA HAJA YA MOYO WAKO…. Kwa Mtaji Huu, Naamini Kabisa Kwamba Mungu ALIUONA UHITAJI WA ADAMU Kuhitaji MSAIDIZI TENA WA KUFANANA NAYE, Ambaye Atakuwa NYAMA KATIKA NYAMA ZAKE NA MFUPA KATIKA MIFUPA YAKE… 

Adamu Alikuwa Na PICHA YA MWANAMKE NDANI YAKE [Aina, Tabia, Hata Rangi Na Mwonekano] HATA KABLA MUNGU HAJAMTENGENEZEA MKE Na Ndiyo Maana ALIPOTOKA USINGIZINI [kwenye Operation] BILA KUAMBIWA NA YEYOTE ALIWEZA KUMTAMBUA MKEWE…. Akajua Kwamba NI NYAMA KATIKA NYAMA ZAKE NA MFUPA KATIKA MIFUPA YAKE, NA AKAMWITA MWANAMKE… Katika Hili HAKUKUWA NA KUBAHATISHA:

Adamu Alijua Na Kufahamu Kuhusu MKEWE [Aliyemtarajia] Kiasi Kwamba Alipozinduka Na Kumkuta Pale HAIKUMPA SHIDA KUMFAHAMU…. Kila Nikiona VIJANA WENZANGU WA KIUME “HAMJUI” Mke Mnayemhitaji, NABAKI NA MSHANGAO; Ndani Yako TAYARI Unayo Picha Ya MKE Unayemhitaji… HUO NDO MTAJI WA KWANZA NA WA MUHIMU…. Kuanzia Hapo Unaweza Sasa KUANZA KUOMBA MBELE ZA MUNGU Ukimsihi AKUKUTANISHE Na Huyo MWANAMKE WA NDOTO ZAKO…. Kama HUNA PICHA KABISA NDANI YAKO; MUNGU HANA PA KUANZIA KUKUSAIDIA… Mungu Anashughulika Na Yale UYAONAYO NAFSINI MWAKO… If You Have the Inner Picture of Her, You Can Have Her…. Kama HAKUNA, Basi HAKUNA”
What Do You Say Mecktilder Mchomvu?? I Believe It Is a Divine Solution,
Hekima Ya Mwalimu,
Mwl D.C.K





Share To:
Magpress

Calvin Petro

Kwa Moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na Maagizo yako. Moyoni mwangu nimeliweka Neno lako Nisije nikakutenda dhambi. (Zaburi 119:10-11).

Post A Comment:

0 comments so far,add yours